Mkuki Na Nyota Publishers

Nahau za Kiswahili 1 Maana na Matumizi

Sh 9,000

Abdallah J. Saffari

Kitabu hiki kinakusudiwa kwa wapenzi wote wa Kiswahili, hasa wanafunzi. Kina jumla ya nahau mia moja na kumi za lugha ya Kiswahili. Pamoja na hayo, kuna michoro kwa ajili ya baadhi ya nahau. Michoro hii ni kukufanya msomaji kupata tabasamu unaposoma nahau hizi.

Binding

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Nahau za Kiswahili 1 Maana na Matumizi”

Your email address will not be published. Required fields are marked *