Mkuki Na Nyota Publishers

Sarufi ya Kiswahili

Sh 5,000

SKU: 9987686567 Categories: , ,

Kitabu hiki kimetayarishwa ili kukidhi mahitaji ya ufundishaji wa Safuri ya Kiswahili katika Shule za Msingi. Pia kitawafaa wanafunzi wa Shule za Sekondari na vilevile wageni wanaojifunza Lugha ya Kiswahili ili waimudu vyema katika kuiandika na kuzungumza. Waandishi ni walimu wenye uzoefu wa kufundisha somo hili na wenye uelewa wa matatizo ya wanafunzi katika kujifunza Safuri ya Kiswahili.

Binding

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Sarufi ya Kiswahili”

Your email address will not be published. Required fields are marked *